21 Juni 2025 - 23:42
Onyo la Jeshi la Iran kwa yeyote anayetaka kutuma silaha Israel ili kuusaidia Utawala haram wa Israel + Video

Shirika la Habari la Kimataifa la Ahlul-Bayt (as) -ABNA- Msemaji wa Makao Makuu ya Kijeshi ya Kha'tam al-Anbiya (s.a.w.w): Kutuma zana zozote za kijeshi au rada na nchi yoyote kwenda Israel ili kuusaidia Utawala wa Haram wa Kizayuni, itakuwa ni lengo na shabaha halali kwa vikosi vya Jeshi letu.

Onyo la Jeshi la Iran kwa yeyote anayetaka kutuma silaha Israel ili kuusaidia Utawala haram wa Israel + Video

Your Comment

You are replying to: .
captcha